HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » SUNDERLAND YASITISHA MKATABA WA EBOUE

SUNDERLAND YASITISHA MKATABA WA EBOUE

7:30 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

                                                                  Emmanuel Eboue
Klabu ya Sunderland inatarajiwa kusitisha mkataba wa mlinzi wake Emmanuel Eboue, baada ya kupigwa marufuku na shirikisho la kandanda duniani FIFA kutoka kwa shughuli zozote zinazohusu kandanda kwa muda wa mwaka mmoja.

Eboue raia wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 32, alipigwa marufuku baada ya kushinda kulipa pesa alizokuwa akidaiwa na ajenti wake wa zamani.

Sunderland ilisema kuwa Eboue hakukijulisha klabu kuhusu suala hilo linalotajwa kuwepo tangu mwezi Julai mwaka 2013.
 

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • TP Mazembe Wameimarisha Matumaini ya Yanga Kufuzu Nusu Fainali ya CAF
    Maombi na furaha ya watanzania wote wazalendo ni kuona Yanga ikifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya ...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • HII HAPA ORODHA YA WAGOMBEA UONGOZI TFF WALIOCHUJWA...MALINZI KAONDOL
    Jumamosi ya July 8 2017 kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka Tanzania TFF ilikutana kwa mara ya kwanza baada ya kuvunj...
  • Uchawi Ni Utumwa : Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi- Sehemu Ya Pi
    NASHIRIKI   KUMFUNGA  KICHAWI  MUME  WA  MTU… . Katika  makala  yangu  yaliyopita , nilieleza  jinsi  mungu  wa  kabili alivyo  ...
  • Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafuasi wa CHADEMA
    Polisi mkoani Kahama wametumia mabomu ya machozi kutawanya makundi ya wananchi wanaokutwa wamekusanyika k...
  • Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 28, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
  • Serikali Yakanusha Kupima Ukimwi Nyumba Kwa Nyumba
    Kumekuwepo na taarifa mbalimbali zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zinazotokana na habari iliyoandikwa na kuchapishwa kw...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top