Simu ya Nokia 3310 yazinduliwa upya miaka 17 baadaye Simu ya Nokia 3310 imezinduliwa upya miaka 17 baada ya uzinduzi wake rasmi. Wengi wanaiona simu hiyo kuwa nzuri kutokana na umaarufu wake na uthabiti. Zaidi…
Wajasiriamali Uyui wakopeshwa mil. 70/-
VIKUNDI zaidi ya 65 vya wajasiriamali wadogo kutoka katika kata zote wilayani Uyui mkoani Tabora, vimewezeshwa mikopo midogo ya zaidi ya Sh milioni 70 katika robo ya kwanza na ya pili ya mwaka wa fedha wa 2016/2017. Hayo yalibainishwa mwishoni …

MbUtawala Wako Binafsi Unavyoweza Kukufanya Tajiri au Maskini
Utawala binafsi ni vile mtu anaweza kuishi katika maagano na malengo yake kwa kuzingatia muda,mahitaji na nguvu aliyonayo katika kukamilisha jambo hilo. Kwa tafsiri yangu mtu akiweza kuishi katika hayo anakuwa ameweza kujitawala vizuri. Katika uo…

GHARAMA ZA UMEME ZAPANDA TENA
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Uchumi wa amlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi akitangaza bei mpya ya umeme jana katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Umeme wa mamlaka hiyo, Anas…

Agizo la Magufuli la tiwa kapuni Vurugu za mgambo na machinga zaibuka tena Jijini Mwanza
Vurugu na mvutano mkali umeibuka jana kati ya mgambo wa jiji la Mwanza na wamachinga wanaofanya biashara katika eneo la Makoroboi baada ya kutakiwa kuondoka mahali hapo. Eneo hilo lipo katikati ya msikiti unaomilikiwa na watu wenye asi…

Zitto: Manji Anakomolewa, Sasa Anyang'anywa Hisa Zake za Tigo na Serikali..!!
Yanayoendelea dhidi ya Yusuf Manji yanashabikiwa na baadhi yetu kwa sababu wanadhani hayatawafika. Tabia ya kukomoa mtu ni tabia mbaya na ina madhara makubwa katika nchi. Ni dhahiri kuwa Manji sasa anaonewa na kudhalilishwa ili kumkomoa kwa sabab…

KAULI YA SERIKALI BUNGENI KUHUSU MWENENDO WA HALI YA UCHUMI WA TAIFA
Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni ya Bunge Na. 49 (1 ) ya Kanuni za Bunge toleo la Januari mwaka 2016, naomba kuwasiisha taarifa kuhusu hali ya uchumi wa Taifa, hususan mwenendo wa viashiria mbalimbali vya uchumi, ikiwemo ukuaji wa uchumi,…
