Hotuba ya taifa ya rais wa kenya Uhuru Kenyatta, imetatizwa kwa muda bungeni baada ya wabuge kadha wa upinzani kupuliza firimbi.
Hata hivyo utulivu ulirejea baada ya spika kuwatupa nje wabunge waliokua wakizipuliza hizo firimbi, na rais akaendelea kutoa hotuba yake kwa taifa.
Post a Comment