HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » KUTUPILIWA MBALI KWA KESI YA UGANDA

KUTUPILIWA MBALI KWA KESI YA UGANDA

7:14 AM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email
                                        Rais Yoweri Museveni alitangazwa mshindi
Mahakama ya juu zaidi nchini Uganda imefutilia mbali kesi iliyokuwa ikipinga ushindi wa rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa urais uliofanyika mwezi uliopita.

Mahakama hiyo ilisema kuwa licha ya kuwepo kwa dosari nyingi za uchaguzi, matokeo ya mwisho hayakuathiriwa.

Kesi hiyo iliwasilishwa na aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo amama mbabazi ambaye alimaliza katika nafasi ya tatu.
 
        Kizza Besigye angali anatumikia kifungo cha nyumbani
Kizza Besigye ambaye alimaliza wa pili amesema hakupata nafasi ya kuwasilisha kesi hiyo mahakamani kwa sababu angali anatumikia kifungo cha nyumbani.

Waangalizi wa kitaifa na kimataifa walishutumu uchaguzi huo ambao ulishindwa na rais Museveni.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • How Hillary blew her big moment
    Like   Reblog on Tumblr   Tweet Well, Hillary Clinton took the stage after four days of Democratic triumph — the party staged wha...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • Mahakama yawambogo kesi ya Godbless Lema......Yahoji sababu za mbuge huyo kunyimwa dhamana.
    Mwenyekiti wa kikao cha jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa, kinachoendelea Arusha, Bernard Luanda, leo ...
  • Trending Videos Title: GODZILLA FT MWASITI - FIRST CLASS Official...
  • Makundi ya Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika yamepangwa, Yanga yupo Kundi A
    Baada ya kumalizika kwa hatua ya mtoano ya michezo ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bin...
  • Breaking News: Wabunge wa Upinzani Waziba Midomo yao Kwa Karatasi na Plasta na Kisha Kutoka Nje
    Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni leo wametumia mtindo mpya kueleza hisia zao baada ya kuamua kutoka kwenye ukumb...
  • SOMA MAAJABU 5 YA NDEGE AINA YA BATA WAKUFUGWA
    Karibu katika mfululizo wa makala mbalimbali makala zinazo kupa fursa ya wewe msomaji kutambua mambo mbalimbali kuusu ndege zaainazote zina...
  • Kenya: watatu wakamatwa kwa njama za shambulizi la kimeta
    Polisi nchini Kenya imewakamata watu watatu wanaoshukiwa kupanga njama za kutekeleza shambulizi la kigaidi, la kutumia kemikali za kibay...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top