Mahakama ya juu
zaidi nchini Uganda imefutilia mbali kesi iliyokuwa ikipinga ushindi wa
rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa urais uliofanyika mwezi
uliopita.
Kesi hiyo iliwasilishwa na aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo amama mbabazi ambaye alimaliza katika nafasi ya tatu.
Waangalizi wa kitaifa na kimataifa walishutumu uchaguzi huo ambao ulishindwa na rais Museveni.
Post a Comment