HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » HODGSON AUNYESHA MASIKITISHO YAKE THIDI YA WACHEZAJI WAKE

HODGSON AUNYESHA MASIKITISHO YAKE THIDI YA WACHEZAJI WAKE

7:03 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

            
Meneja wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson amesikitishwa na kikosi chake kukosa ubunifu baada ya kufungwa 2-1 Uholanzi.

Kipigo hicho kimekuja baada ya Uingereza kuonyesha kiwango bora wakitoka nyuma na kuwafunga mabingwa wa dunia Ujerumani mabao 3-2.

Akizungumza baada ya mchezo huo Hodgson amesema pamoja na kumiliki vyema mpira lakini wachezaji wake hawakuwa wabunifu jambo lilichangia kutotengeneza nafasi za kutosha.

Meneja huyo aliongeza kuwa hawakucheza vyema kama ilivyokuwa katika mchezo dhidi ya Ujerumani kule Berlin.

Hicho ni kipigo cha kwanza kwa Uingereza katika Uwanja wa Wembley tangu Novemba mwaka 2013.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • How Hillary blew her big moment
    Like   Reblog on Tumblr   Tweet Well, Hillary Clinton took the stage after four days of Democratic triumph — the party staged wha...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • Trending Videos Title: GODZILLA FT MWASITI - FIRST CLASS Official...
  • Zitto Kabwe "Kaulonzito Sakata la Godbless Lema....Ataka ofisi ya DPP iwajibishwe
    Kitendo cha Mbunge wa Arusha mjini kukaa rumande kwa zaidi ya miezi minne sasa pasipo kupatiwa dhamana kimemf...
  • Breaking News: Wabunge wa Upinzani Waziba Midomo yao Kwa Karatasi na Plasta na Kisha Kutoka Nje
    Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni leo wametumia mtindo mpya kueleza hisia zao baada ya kuamua kutoka kwenye ukumb...
  • SOMA MAAJABU 5 YA NDEGE AINA YA BATA WAKUFUGWA
    Karibu katika mfululizo wa makala mbalimbali makala zinazo kupa fursa ya wewe msomaji kutambua mambo mbalimbali kuusu ndege zaainazote zina...
  • (no title)
    Mwili wa Papa Wemba wawasili DRC Saa 3 zilizopita Mshirikishe mwenzako ...
  • Mamilioni ya Farid Mussa yanukia Azam
    UONGOZI wa timu ya Azam FC umeeleza kuwa tayari kukaa meza ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top