HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » HODGSON AUNYESHA MASIKITISHO YAKE THIDI YA WACHEZAJI WAKE

HODGSON AUNYESHA MASIKITISHO YAKE THIDI YA WACHEZAJI WAKE

7:03 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

            
Meneja wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson amesikitishwa na kikosi chake kukosa ubunifu baada ya kufungwa 2-1 Uholanzi.

Kipigo hicho kimekuja baada ya Uingereza kuonyesha kiwango bora wakitoka nyuma na kuwafunga mabingwa wa dunia Ujerumani mabao 3-2.

Akizungumza baada ya mchezo huo Hodgson amesema pamoja na kumiliki vyema mpira lakini wachezaji wake hawakuwa wabunifu jambo lilichangia kutotengeneza nafasi za kutosha.

Meneja huyo aliongeza kuwa hawakucheza vyema kama ilivyokuwa katika mchezo dhidi ya Ujerumani kule Berlin.

Hicho ni kipigo cha kwanza kwa Uingereza katika Uwanja wa Wembley tangu Novemba mwaka 2013.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top