HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » HODGSON AUNYESHA MASIKITISHO YAKE THIDI YA WACHEZAJI WAKE

HODGSON AUNYESHA MASIKITISHO YAKE THIDI YA WACHEZAJI WAKE

7:03 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

            
Meneja wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson amesikitishwa na kikosi chake kukosa ubunifu baada ya kufungwa 2-1 Uholanzi.

Kipigo hicho kimekuja baada ya Uingereza kuonyesha kiwango bora wakitoka nyuma na kuwafunga mabingwa wa dunia Ujerumani mabao 3-2.

Akizungumza baada ya mchezo huo Hodgson amesema pamoja na kumiliki vyema mpira lakini wachezaji wake hawakuwa wabunifu jambo lilichangia kutotengeneza nafasi za kutosha.

Meneja huyo aliongeza kuwa hawakucheza vyema kama ilivyokuwa katika mchezo dhidi ya Ujerumani kule Berlin.

Hicho ni kipigo cha kwanza kwa Uingereza katika Uwanja wa Wembley tangu Novemba mwaka 2013.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • Zitto ataka hesabu ya wapinzani waliobaki
    Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amefunguka na kuwataka Wabunge wa vyama vya upinzani wasimam...
  • Polisi wakana, wadai wao hawahusiki
    Jeshi la polisi mkoa wa Njombe limekana kumkamata mwandishi wa habari Emmanuel Kibiki ambaye anadaiwa kukamatwa majira ya saa tisa usiku w...
  • VIDEO: Tundu Lissu amtumia salamu Rais Magufuli akiwa Hospitali leo
      Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu leo alikua Nairobi Kenya kwenye Sherehe za kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta ambapo baada...
  • SOMA MAAJABU 5 YA NDEGE AINA YA BATA WAKUFUGWA
    Karibu katika mfululizo wa makala mbalimbali makala zinazo kupa fursa ya wewe msomaji kutambua mambo mbalimbali kuusu ndege zaainazote zina...
  • uteuzi wa Diwani viti maalumu Chadema wakamilika
    Kufuatia kifo cha aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu katika Halmashauri ya jiji ya Mbeya kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chade...
  • Breaking News: Wabunge wa Upinzani Waziba Midomo yao Kwa Karatasi na Plasta na Kisha Kutoka Nje
    Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni leo wametumia mtindo mpya kueleza hisia zao baada ya kuamua kutoka kwenye ukumb...
  • Sara Thomas Bado natesa sana kwnye Gospo
    MKONGWE katika muziki wa Bongo Fleva, Stara Thomas, ameibuka na kudai kwamba muziki wa injili haujamshinda hivyo ataendelea kuimba Bo...
  • Ripoti: Watu wanene 'ndio wengi duniani'
                                         Wanaume wanene wameongezeka mara tatu katika miongo minne ...
  • Askari Aliyemuua Mwandishi wa Habari Daudi Mwangosi Ahukumiwa Kifungo
    ‪#‎HABARI‬ Askari aliyemuua mwandishi wa habari Daudi Mwangosi bila kukusudia leo amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela. Toa maoni ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top