Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28, ndiye mchezaji anayelipwa zaidi Arsenal akikunja kitita cha paundi 140,000 kwa wiki ambazo zinaongezeka mpaka kufikia paundi 200,000 kwa wiki huku akiongeza na bakshishi.
Arsenal wako tayari kumuongeza zaidi lakini Ozil anaonekana kama bado hayupo tayari akifahamu kuwa anaweza kupata zaidi akienda kwingine.
Post a Comment