Baada ya kusajiliwa na Manchester United kutoka Juventus ya Italia kwa ada ya paundi milioni 89 kwa mkataba wa miaka mitano, Paul Pogba, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo pia alikuwa akivaa zamani alipokuwa Juventus kabla ya kupewa jezi namba 10. Tazama picha za staa huyo akiwa na uzi wa Man United.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.