HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani

Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani

6:17 AM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email

                                 (kulia) Kiongozi wa chama cha EFF Julius Malema.
Kiongozi wa mrengo wa kushoto nchini Afrika Kusini Julius Malema ameonya kuwa chama chake kitamzuia Rais Jacob Zuma kuhutubia bunge kufuatia uamuzi ulitolewa na mahakama ya juu zaidi nchini humo kuwa alikiuka katiba kwa kukataa kuilipa serikali pesa zilizotumiwa kukarabati nyumba yake binafsi.

Amesema kuwa chama chake cha Economic Freedom Fighters kitashinikiza kuondolewa kwa Rais Zuma na kuvunjwa kwa bunge ili kufanyika uchaguzi wa mapema.
                                       Makao ya Zuma yaliyofanyiwa ukarabati.
"Kati ya sasa na wakati wa kumuondoa madarakani, Rais hatuzungumza bungeni. Tutamzuia.Tutamsukuma." Malema alismema.

Upinzani uliwasilisha kesi mahakamani baada ya bwana Zuma kupuuza uamuzi wa mwaka 2014 kuwa alinufaika kutokana na ukarabati wa nyumba yake na kwamba alistahili kulipa pesa zilizotumiwa.

Mahakama ilisema kwa wizara ya fedha itatambua ni kiasi gani cha pesa kilichotumiwa na kwamba Zuma atalipa yenye mwenyewe.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
  • DC atangazia kiama wavamizi Mvomero
        Mkuu wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Betty Mkwassa.   Mkuu wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Be...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • Wanawake Korea Kusini wanaweza kuishi miaka 90 nazaid
    Wanawake nchini Korea Kusini wanakadiriwa kupiundukia umri wa miaka 90 kwa mujibu wa jarida moja la habari za kisayansi la lijulikanalo...
  • Zitto Kabwe "Kaulonzito Sakata la Godbless Lema....Ataka ofisi ya DPP iwajibishwe
    Kitendo cha Mbunge wa Arusha mjini kukaa rumande kwa zaidi ya miezi minne sasa pasipo kupatiwa dhamana kimemf...
  • Ndege za Marekani zaua al shabab Somalia
      Mashambul...
  • Wanaofanya Biashara ya Ngono Wataka ajira Irasimishwe
    Baadhi ya wanawake wanaojiuza katika mitaa ya Majengo B na Fisi, mjini Mpanda m...
  • Zitto: Manji Anakomolewa, Sasa Anyang'anywa Hisa Zake za Tigo na Serikali..!!
    Yanayoendelea dhidi ya Yusuf Manji yanashabikiwa na baadhi yetu kwa sababu wanadhani hayatawafika. Tabia ya kukomoa mtu ni tabia mbaya...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top