HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani

Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani

6:17 AM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email

                                 (kulia) Kiongozi wa chama cha EFF Julius Malema.
Kiongozi wa mrengo wa kushoto nchini Afrika Kusini Julius Malema ameonya kuwa chama chake kitamzuia Rais Jacob Zuma kuhutubia bunge kufuatia uamuzi ulitolewa na mahakama ya juu zaidi nchini humo kuwa alikiuka katiba kwa kukataa kuilipa serikali pesa zilizotumiwa kukarabati nyumba yake binafsi.

Amesema kuwa chama chake cha Economic Freedom Fighters kitashinikiza kuondolewa kwa Rais Zuma na kuvunjwa kwa bunge ili kufanyika uchaguzi wa mapema.
                                       Makao ya Zuma yaliyofanyiwa ukarabati.
"Kati ya sasa na wakati wa kumuondoa madarakani, Rais hatuzungumza bungeni. Tutamzuia.Tutamsukuma." Malema alismema.

Upinzani uliwasilisha kesi mahakamani baada ya bwana Zuma kupuuza uamuzi wa mwaka 2014 kuwa alinufaika kutokana na ukarabati wa nyumba yake na kwamba alistahili kulipa pesa zilizotumiwa.

Mahakama ilisema kwa wizara ya fedha itatambua ni kiasi gani cha pesa kilichotumiwa na kwamba Zuma atalipa yenye mwenyewe.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • VIDEO: Tazama mwanzo mwisho Miss TIA 2016 ilivyofanyika Dar es salaam
  • SOMA MAAJABU 5 YA NDEGE AINA YA BATA WAKUFUGWA
    Karibu katika mfululizo wa makala mbalimbali makala zinazo kupa fursa ya wewe msomaji kutambua mambo mbalimbali kuusu ndege zaainazote zina...
  • TP Mazembe Wameimarisha Matumaini ya Yanga Kufuzu Nusu Fainali ya CAF
    Maombi na furaha ya watanzania wote wazalendo ni kuona Yanga ikifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya ...
  • Makampuni kugawa hisa Zimbabwe
                             Mashirika ya kifedha ni kati ya yale yanayotakiwa kugawa hisa. ...
  • EMMANUEL Mbasha Amvua Nguo Hadharani Mzazi Mwenzie ‘Flora Henry’
    Muimbaji  wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha ambaye alikuwa mume wa Mwanamama Flora Henry amefunguka na kuweka wa...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • Magufuli aokoa bil 2/- sherehe za Muungano
    Rais Dkt John Magufuli RAIS John Magufuli ameahirisha shamrashamra za maadhimisho ya sik...
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top