HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani

Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani

6:17 AM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email

                                 (kulia) Kiongozi wa chama cha EFF Julius Malema.
Kiongozi wa mrengo wa kushoto nchini Afrika Kusini Julius Malema ameonya kuwa chama chake kitamzuia Rais Jacob Zuma kuhutubia bunge kufuatia uamuzi ulitolewa na mahakama ya juu zaidi nchini humo kuwa alikiuka katiba kwa kukataa kuilipa serikali pesa zilizotumiwa kukarabati nyumba yake binafsi.

Amesema kuwa chama chake cha Economic Freedom Fighters kitashinikiza kuondolewa kwa Rais Zuma na kuvunjwa kwa bunge ili kufanyika uchaguzi wa mapema.
                                       Makao ya Zuma yaliyofanyiwa ukarabati.
"Kati ya sasa na wakati wa kumuondoa madarakani, Rais hatuzungumza bungeni. Tutamzuia.Tutamsukuma." Malema alismema.

Upinzani uliwasilisha kesi mahakamani baada ya bwana Zuma kupuuza uamuzi wa mwaka 2014 kuwa alinufaika kutokana na ukarabati wa nyumba yake na kwamba alistahili kulipa pesa zilizotumiwa.

Mahakama ilisema kwa wizara ya fedha itatambua ni kiasi gani cha pesa kilichotumiwa na kwamba Zuma atalipa yenye mwenyewe.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • Kirabu ni marufuku katika miskiti Ujerumani
        ...
  • Mishahara ya vigogo yaanza kufyekwa
    *Waziri Kairuki aeleza namna bodi inavyochambua * Kambi ya upinzani yaja juu, watumishi hewa 4,317 wabainika...
  • Picha ya Mtanzania anayeteswa na Mchina yampeleka Mwigulu Geita
    Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba amewasili mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi, kubwa ikiwa ni kufuatia taari...
  • Uchawi Ni Utumwa : Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi- Sehemu Ya Pi
    NASHIRIKI   KUMFUNGA  KICHAWI  MUME  WA  MTU… . Katika  makala  yangu  yaliyopita , nilieleza  jinsi  mungu  wa  kabili alivyo  ...
  • IOM: Zaidi ya 80 hawajapatikana baada ya boti ya wakimbizi kuzama pwani ya Libya
    Shirika la Kimataifa la Wahajiri IOM limesema hatima ya wahajiri zaidi ya 80 haijajulikana hadi sasa...
  • Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"
    Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye, Tiffah ume...
  • KUTOKA BUNGENI: Hotuba ya Lema yazuiliwa kusomwa mpaka Kamati ya kanuni iipitie
    Hotuba ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani ya Msemaji Mkuu wa Wizara ya Mambo Ndani ya Nchi, Godbless Lema imezuiliwa kusomwa. Imezuiliw...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top