17.15pm:Wachezaji wa Arsenal akiwemo Iwobi na El Neny wanaonekana kutulia sana
17.10pm:Iwobi apiga kombora zuri lakini mlinda lango wa Watford anaupangua mpira
17.07pm:Gooooooooooal Arsenal inajiweka kifua mbele hapa kupitia Alexi Sanchez baada pasi nzuri kutoka kwa Iwobi.
17.06pm:Arsenal inaanza mechi kwa kasi hapa ikiwa hakuna timu ilioona lango la mwenziwe.
17.00pm:Mechi inaanza
Arsenal vs Watford.
Post a Comment