0
Ligi Kuu ya Uingereza inarejea wikendi hii baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa Jumamosi kukiwa kumeratibiwa mechi kati ya Aston Villa na Chelsea ,Arsenal dhidi ya Watford miongoni mwa mechi nyengine.

17.15pm:Wachezaji wa Arsenal akiwemo Iwobi na El Neny wanaonekana kutulia sana
17.10pm:Iwobi apiga kombora zuri lakini mlinda lango wa Watford anaupangua mpira
17.07pm:Gooooooooooal Arsenal inajiweka kifua mbele hapa kupitia Alexi Sanchez baada pasi nzuri kutoka kwa Iwobi.

17.06pm:Arsenal inaanza mechi kwa kasi hapa ikiwa hakuna timu ilioona lango la mwenziwe.
17.00pm:Mechi inaanza
Arsenal vs Watford.

Post a Comment

 
Top