Afisi za shirikisho
la soka barani Ulaya Uefa zimevamiwa na maafisa wa polisi wa Uswizi
baada ya aliyekuwa katibu mkuu Gianni Infantino ambaye sasa ni rais wa
Fifa kutajwa katika stakhabadhi zilizofichuliwa na kampuni moja ya
mawakili wa Panama Mossack Fonseca.
Infantino hatahivyo amekana kufanya makosa yoyote.
Post a Comment