Sultan Kösen ana urefu wa futi 8 na inchi 3 au mita 2.51.
Mtu mrefu zaidi
duniani raia wa Uturuki Sultan Kösen aliye na urefu wa futi 8 na inchi 3
au mita 2.51 amewasilia nchini Mauritius leo asubuhi.
Sultan
alilakiwa na umati katika kisiwa hicho cha bahari ya Hindi, kwa mujibu
wa taarifa zilizowekwa kwenye ukusara wa facebook wa mtandao wa habari
wa nchi hiyo.
Aliikinga kitabu Guinness World Records mwaka 2009.
Sultan mara ya kwanza alitajwa kuwa mtu mrefu zaidi duniani mwaka 2009 wakati alitimia urefu wa futi 8 na inchi moja mwaka 2009.
Akiongea
wakati aliingia kwenye rekodi ya kitabu cha Guinness World Records
alismea," Singetarajia ningekuwa kwenye kitabu hicho, nikuwa na ndoto
lakini bado ulikuwa ni mshangao mkubwa.
Post a Comment