HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » Ferguson aipa nafasi Leicester City.

Ferguson aipa nafasi Leicester City.

8:37 PM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

                                                        opyright Getty
Meneja wa zamani wa Man United, Sir Alex Ferguson anaamini Leicester City wanastahili kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu

Leicester wamekuwa na msimu mzuri 2015-2016 wakiwa wanaongoza ligi kwa tofauti ya alama tano huku wakiwa wamebaki na mechi saba.

Msimu uliopita wote ulikuwa wa wasiwasi kwa Leicester kwani walikuwa wakipigania kutoshuka daraja lakini hali imekuwa tofauti kwa mwaka huu.

Hata hivyo, kutokana na hali na moyo wa kujituma walio onyesha chini ya Claudio Ranieri msimu huu, Ferguson anadhani hakuna timu inayostahili kushinda taji la ligi zaidi ya Leicester.

Ferguson ambaye alinyakuwa mataji 13 ya ligi akiwa na United amesema kwa uwezo mkubwa walioonyesha Leicester hana shaka kuwa wanastahili kushinda taji hilo.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • uteuzi wa Diwani viti maalumu Chadema wakamilika
    Kufuatia kifo cha aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu katika Halmashauri ya jiji ya Mbeya kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chade...
  • Zitto ataka hesabu ya wapinzani waliobaki
    Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amefunguka na kuwataka Wabunge wa vyama vya upinzani wasimam...
  • Polisi wakana, wadai wao hawahusiki
    Jeshi la polisi mkoa wa Njombe limekana kumkamata mwandishi wa habari Emmanuel Kibiki ambaye anadaiwa kukamatwa majira ya saa tisa usiku w...
  • Bayern, Atletico zajikatia tikiti ya nusu fainali
    Bayern Munich imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya mabao mawili kwa mawili na Benfica Lisbon jana usi...
  • Papa Francis arejea na wahamiaji Vatican
               ...
  • TASWIRA 10, AZAM FC WAKIENDELEA KUJIWINDA WAKIIWINDA SIMBA ILIYO ZENJI...
    Simba imepiga kambi mjini Zanzibar kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jij...
  • Utafiti: Vijana wengi Tanzania ‘hawafai taifa
             Utafiti huo uliangazia mwaka 2014/2 Utafiti umebaini kwamba asilimia 71 ya...
  • Umoja wa Mataifa: Hali ya usalama Darfur haitabiriki
        Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya usalama katika j...
  • Duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Iran inafanyika leo
        Duru ya pili ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu...
  • NATO na Urusi kufanya mkutano
                          ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top