HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » Ferguson aipa nafasi Leicester City.

Ferguson aipa nafasi Leicester City.

8:37 PM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

                                                        opyright Getty
Meneja wa zamani wa Man United, Sir Alex Ferguson anaamini Leicester City wanastahili kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu

Leicester wamekuwa na msimu mzuri 2015-2016 wakiwa wanaongoza ligi kwa tofauti ya alama tano huku wakiwa wamebaki na mechi saba.

Msimu uliopita wote ulikuwa wa wasiwasi kwa Leicester kwani walikuwa wakipigania kutoshuka daraja lakini hali imekuwa tofauti kwa mwaka huu.

Hata hivyo, kutokana na hali na moyo wa kujituma walio onyesha chini ya Claudio Ranieri msimu huu, Ferguson anadhani hakuna timu inayostahili kushinda taji la ligi zaidi ya Leicester.

Ferguson ambaye alinyakuwa mataji 13 ya ligi akiwa na United amesema kwa uwezo mkubwa walioonyesha Leicester hana shaka kuwa wanastahili kushinda taji hilo.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • VIDEO: Trending Chege & Temba ft. Emmy Wimbo - Go Down [Official Music Video]
    https://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2hE https://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2h Ehttps://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2hE
  • Usiyoyajua Kuhusu Bia ya Tanzania Iliyopachikwa Jina la Utani la ‘Ukawa’
     “ Nipatie Ukawa hapo ”, “lete Ukawa chapu chapu” hayo ni maneno utakayoyasikia siku hizi ukiingia baa mbalimbali za mtaa...
  • Serengeti boys yawachapa Mafarao
    ...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • NEPAD: Invest in infrastructure for agro-industrial devt
    African governments have been urged to invest in infrastructure that will help drive increased private investment and production in a...
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
  • Mishahara ya vigogo yaanza kufyekwa
    *Waziri Kairuki aeleza namna bodi inavyochambua * Kambi ya upinzani yaja juu, watumishi hewa 4,317 wabainika...
  • Magufuli kuzuru Rwanda ziara ya kwanza nje
    Hiyo itakuwa ziara ya kwanza ya Magufuli nje ya Tanzania ta...
  • African countries urged to allocate more to agriculture
    AFRICAN governments have been urged to take practical measures to allocate more resources in agriculture sector as per Malabo Declara...
  • HII NI APRILI MPYA KWA SIMBA, MISIMU MIWILI ILIYOPITA ZILIKUWA APRILI MBAYA
    Kikosi cha timu ya Simba kwa sasa ndiyo kinaongoza Ligi Kuu Bara kikiwa na pointi 57 ikibakiwa na michezo sita tu kuhitimisha msi...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top