HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » 23 WAFARIKI DUNIA KWAKUANGUKIWA NA DARAJA INDIA

23 WAFARIKI DUNIA KWAKUANGUKIWA NA DARAJA INDIA

11:05 PM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email
      Moja ya magari yaliyoangukiwa na sehemu ya barabara hiyo
Mamia ya waokoaji wakiongozwa na majeshi, wahandisi, matabibu wamekuwa wakifanya kazi usiku kucha katika mji wa India wa Calcutta kuokoa watu wanaosadikiwa kunaswa kwenye barabara ya juu iliyoanguka ikijengwa.

Maafisa wanasema hadi sasa watu 23 wamekufa na mamia kujeruhuwa na wengine wakiwa bado wamefukiwa na kifusi.

Inasadikiwa watu wengi wamefukiwa ambapo hadi sasa tayari watu 23 wamethibitishwaa kufariki na mamia wengine kujeruhiwa ambao wanapatiwa matibabu.

"Kulikuwa na watu wengi waliokuwa wamesimama chini ya bara bara hiyo inayopita juu kwa juu kulikuwa na bajaji na taxi nyingi zote zimefukiwa," anasema mmoja wa walioshuhudia mkasa huo

Mkurugenzi Mkuu wa Kikosi cha Kukabiliana na majanga nchini India O P Singh anasema waokoaji wamekuwa wakikata zege ili kuwafikia watu waliokuwa wamezikwa baada ya kuangukiwa na kifusi.
Kampuni iliyokuwa inajenga barabara hiyo ya juu kwa juu amesema watatoa ushirikiano kwa

maafisa wa upelelezi katika uchunguzi wa tukio hilo. Msemaji wa kampuni hiyo K P Rao anasema bado hawajafahamu nini kilichosababisha
 

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • Makundi ya Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika yamepangwa, Yanga yupo Kundi A
    Baada ya kumalizika kwa hatua ya mtoano ya michezo ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bin...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete imeokoa hizi milioni ambazo zingetumika kwa matibabu nje
    Taasisi ya Moyo...
  • Odinga amtembelea Rais Magufuli, Chato
    Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga akiwasili kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Chato Mkoani Geita kwa ajili ya kwen...
  • ALIYEMCHEZEA NA KUMFANYIA UTANI NKURUNZIZA AKAMATWA
      ...
  • Nuh Mziwanda: Miaka Mitatu ya Kuwa na Shilole Imenipoteza Mambo Mengi
    Nuh Mziwanda amedai katika miaka mitatu aliyokuwa na uhusiano na Shilole amepoteza mambo mengi. Akiongea na Bongo5 Nuh ames...
  • Rwanda yataka ufafanuzi kuhusu kifo cha waziri
                                 Jacques Bihozagara alihudumu wakati mmoja kama balozi Ubelgiji ...
  • LIVE KUTOKA TAIFA: YANGA 3-1 KAGERA SUGAR (FULL TIME)
    MPIRA UMEKWISHAAAAAA DAKIKA 3 ZA NYONGEZA SUB Dk 90, Yanga wanamtoa Juma Abdul baada ya kuumia na nafasi yake inachukuliw...
  • Kondakta ashtakiwa kutishia kumuua Magufuli
                ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top