HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » 23 WAFARIKI DUNIA KWAKUANGUKIWA NA DARAJA INDIA

23 WAFARIKI DUNIA KWAKUANGUKIWA NA DARAJA INDIA

11:05 PM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email
      Moja ya magari yaliyoangukiwa na sehemu ya barabara hiyo
Mamia ya waokoaji wakiongozwa na majeshi, wahandisi, matabibu wamekuwa wakifanya kazi usiku kucha katika mji wa India wa Calcutta kuokoa watu wanaosadikiwa kunaswa kwenye barabara ya juu iliyoanguka ikijengwa.

Maafisa wanasema hadi sasa watu 23 wamekufa na mamia kujeruhuwa na wengine wakiwa bado wamefukiwa na kifusi.

Inasadikiwa watu wengi wamefukiwa ambapo hadi sasa tayari watu 23 wamethibitishwaa kufariki na mamia wengine kujeruhiwa ambao wanapatiwa matibabu.

"Kulikuwa na watu wengi waliokuwa wamesimama chini ya bara bara hiyo inayopita juu kwa juu kulikuwa na bajaji na taxi nyingi zote zimefukiwa," anasema mmoja wa walioshuhudia mkasa huo

Mkurugenzi Mkuu wa Kikosi cha Kukabiliana na majanga nchini India O P Singh anasema waokoaji wamekuwa wakikata zege ili kuwafikia watu waliokuwa wamezikwa baada ya kuangukiwa na kifusi.
Kampuni iliyokuwa inajenga barabara hiyo ya juu kwa juu amesema watatoa ushirikiano kwa

maafisa wa upelelezi katika uchunguzi wa tukio hilo. Msemaji wa kampuni hiyo K P Rao anasema bado hawajafahamu nini kilichosababisha
 

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • VIDEO: Trending Chege & Temba ft. Emmy Wimbo - Go Down [Official Music Video]
    https://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2hE https://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2h Ehttps://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2hE
  • Usiyoyajua Kuhusu Bia ya Tanzania Iliyopachikwa Jina la Utani la ‘Ukawa’
     “ Nipatie Ukawa hapo ”, “lete Ukawa chapu chapu” hayo ni maneno utakayoyasikia siku hizi ukiingia baa mbalimbali za mtaa...
  • Serengeti boys yawachapa Mafarao
    ...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • NEPAD: Invest in infrastructure for agro-industrial devt
    African governments have been urged to invest in infrastructure that will help drive increased private investment and production in a...
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
  • Mishahara ya vigogo yaanza kufyekwa
    *Waziri Kairuki aeleza namna bodi inavyochambua * Kambi ya upinzani yaja juu, watumishi hewa 4,317 wabainika...
  • Magufuli kuzuru Rwanda ziara ya kwanza nje
    Hiyo itakuwa ziara ya kwanza ya Magufuli nje ya Tanzania ta...
  • African countries urged to allocate more to agriculture
    AFRICAN governments have been urged to take practical measures to allocate more resources in agriculture sector as per Malabo Declara...
  • HII NI APRILI MPYA KWA SIMBA, MISIMU MIWILI ILIYOPITA ZILIKUWA APRILI MBAYA
    Kikosi cha timu ya Simba kwa sasa ndiyo kinaongoza Ligi Kuu Bara kikiwa na pointi 57 ikibakiwa na michezo sita tu kuhitimisha msi...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top