HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » HABARI » Trump ‘ajipendekeza’ kwa wakuu Republican

Trump ‘ajipendekeza’ kwa wakuu Republican

12:47 AM Unknown 0 HABARI
A+ A-
Print Email


                Bw Trump anaongoza kwa wajumbe chama cha Republican kufikia sasa
Mgombea urais anayeongoza katika chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amechukua hatua ya kushangaza akijaribu kuimarisha uhusiano uliodorora kati yake na wakuu wa chama hicho.

Mfanyabiashara huyo tajiri kutoka New York ametembelea Kamati Kuu ya Taifa ya Republican.

Amechukua hatua hiyo siku moja baada ya kuwakera viongozi hao kwa kusema kwamba hatatii makubaliano ya kuunga mkono mgombea mwengine, iwapo yeye mwenyewe hatashinda uteuzi wa chama hicho.

Bw Trump, anayeongoza kwa wajumbe kwa sasa, amekosoa kile anachosema ni juhudi zisizo za kidemokrasia za kutaka kumpkonya ushindi katika mkutano mkuu wa kuidhinisha mgombea mjini Cleveland mwezi Julai.





chanzo bbc swahili

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • Tanzania na Rwanda zafungua ukurasa mpya
    Rwanda na Tanzania zimeahidi kushirikiana zaidi kibiashara katika ukurasa mpya wa uhusiano baina ya ...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • SOMA MAAJABU 5 YA NDEGE AINA YA BATA WAKUFUGWA
    Karibu katika mfululizo wa makala mbalimbali makala zinazo kupa fursa ya wewe msomaji kutambua mambo mbalimbali kuusu ndege zaainazote zina...
  • Je wafahamu kuwa Bata Mzinga ni biashara nzuri sana ambayo watu wengi hatuitilii maanani sana. ?
                                                                                                      ICHO LETU HII LEO....  ...
  • Utatamani kujua ilichosema serikali ya Tanzania kuhusu taarifa za Wahisani kujitoa kuisaidia Tanzania
    Baada ya headlines kadhaa za hivi karibuni kwa Wahisani wa Mareka...
  • TAZAMA PICHA ZA STAA ELIZABETH LULU ANAVYO TUMIA MAKE UP
    Become an  wholesale  marketer .  There are many companies and webmasters who use online wholesale programs to boost their online sal...
  • HATIMAYE Mwanariadha Kilema wa South Africa Oscar Pistorius Ahukumiwa Kwenda Jela Kwa Mauaji
    Jela Kwa Mauaji Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, leo amehukumiw...
  • Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 4 2016 kwenye,, hardnews na michezo
    April 4 2016 ...
  • Magufuli: AirTanzania kupaa tena Septemba
    Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kuwa shirika la ndege la Tanzania litarejea angani ''kabla ya mwisho wa mwe...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top