HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » YANGA AZAMFC ZATINGA NUSU FAINALI

YANGA AZAMFC ZATINGA NUSU FAINALI

11:22 PM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

          

Timu za Yanga, na Azam FC za Dar es Salaaam, zimefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho.

Timu hizo zimefanikiwa kuingia hatua hiyo ya ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho baada ya kushinda Mechi zao za Robo Fainali zilizochezwa Jijini Dar es Salaam.

Mabingwa wa Tanzania bara Yanga iliibugiza Ndanda FC Bao 2-1 kwa mbagoli ya Paul Nonga, na Kelvin Yondani, na lile la Ndanda FC likifungwa na Kigi Makasi.

Azam FC wao wameibuka na ushindi mnono wa bao 3-1 dhidi ya Tanzania Prisons kwa Bao 2 za Shomari Kapombe na moja la Mcha huku Bao la Prisons, la kufutia machozi lilipachikwa na Jeremiah John.

Robo Fainali ya michuano hili itakamilika Aprili 11 wakati Simba SC watakapocheza na Coastal Union katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.

Kwa matokeo hayo Yanga na Azam fc zinaungana na Timu ya Mwadui FC ambayo ndio ilikuwa Timu ya kwanza kutinga Nusu Fainali baada kwa kuwachapa Geita Gold kwa mabao 3 -0.

Bingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) atawakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF CC) mwaka 2017.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • VIDEO: Trending Chege & Temba ft. Emmy Wimbo - Go Down [Official Music Video]
    https://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2hE https://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2h Ehttps://www.youtube.com/watch?v=6DEo1eFq2hE
  • Usiyoyajua Kuhusu Bia ya Tanzania Iliyopachikwa Jina la Utani la ‘Ukawa’
     “ Nipatie Ukawa hapo ”, “lete Ukawa chapu chapu” hayo ni maneno utakayoyasikia siku hizi ukiingia baa mbalimbali za mtaa...
  • NEPAD: Invest in infrastructure for agro-industrial devt
    African governments have been urged to invest in infrastructure that will help drive increased private investment and production in a...
  • Serengeti boys yawachapa Mafarao
    ...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
  • Mishahara ya vigogo yaanza kufyekwa
    *Waziri Kairuki aeleza namna bodi inavyochambua * Kambi ya upinzani yaja juu, watumishi hewa 4,317 wabainika...
  • Magufuli kuzuru Rwanda ziara ya kwanza nje
    Hiyo itakuwa ziara ya kwanza ya Magufuli nje ya Tanzania ta...
  • Kikwete Mate yamdondoka : Nafasi ya Kinana CCM
    Mbunge  wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amesema hatamani kuwa rais bali anataka siku moja awe Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapi...
  • African countries urged to allocate more to agriculture
    AFRICAN governments have been urged to take practical measures to allocate more resources in agriculture sector as per Malabo Declara...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top