HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » YANGA AZAMFC ZATINGA NUSU FAINALI

YANGA AZAMFC ZATINGA NUSU FAINALI

11:22 PM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

          

Timu za Yanga, na Azam FC za Dar es Salaaam, zimefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho.

Timu hizo zimefanikiwa kuingia hatua hiyo ya ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho baada ya kushinda Mechi zao za Robo Fainali zilizochezwa Jijini Dar es Salaam.

Mabingwa wa Tanzania bara Yanga iliibugiza Ndanda FC Bao 2-1 kwa mbagoli ya Paul Nonga, na Kelvin Yondani, na lile la Ndanda FC likifungwa na Kigi Makasi.

Azam FC wao wameibuka na ushindi mnono wa bao 3-1 dhidi ya Tanzania Prisons kwa Bao 2 za Shomari Kapombe na moja la Mcha huku Bao la Prisons, la kufutia machozi lilipachikwa na Jeremiah John.

Robo Fainali ya michuano hili itakamilika Aprili 11 wakati Simba SC watakapocheza na Coastal Union katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.

Kwa matokeo hayo Yanga na Azam fc zinaungana na Timu ya Mwadui FC ambayo ndio ilikuwa Timu ya kwanza kutinga Nusu Fainali baada kwa kuwachapa Geita Gold kwa mabao 3 -0.

Bingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) atawakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF CC) mwaka 2017.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • Kobe Bryant acheza mechi yake ya mwisho
               ...
  • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 3
  • IOM: Zaidi ya 80 hawajapatikana baada ya boti ya wakimbizi kuzama pwani ya Libya
    Shirika la Kimataifa la Wahajiri IOM limesema hatima ya wahajiri zaidi ya 80 haijajulikana hadi sasa...
  • Askofu Gwajima amshambulia tena Makonda
    Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ametaja makosa ya kisheria yaliyomfanya Mkuu wa Mkoa wa...
  • Ntaganzwa afikishwa mahakamani Rwanda
                               Ntaganzwa alikamatwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...
  • Rais Magufuli Afungua Jengo la Kitega Uchumi la Mfuko wa Pensheni PPF Jijini Arusha
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akikata utepe kuzindua rasmi, Jengo la Kitegauchumi la Mfuko wa Pe...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 17 & 18
    Mtunzi:  EDDAZARIA G.MSULWA   ....Nikabaki nimesimama huku sielewi ni kitu gani nifanye nikageuka kiun...
  • Chuo cha CBE wameyazungumza haya baada ya kuripotiwa kwa tuhuma za ufisadi chuoni hapo
    Chuo cha Elimu ya Biashara (...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top