HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » YANGA AZAMFC ZATINGA NUSU FAINALI

YANGA AZAMFC ZATINGA NUSU FAINALI

11:22 PM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

          

Timu za Yanga, na Azam FC za Dar es Salaaam, zimefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho.

Timu hizo zimefanikiwa kuingia hatua hiyo ya ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho baada ya kushinda Mechi zao za Robo Fainali zilizochezwa Jijini Dar es Salaam.

Mabingwa wa Tanzania bara Yanga iliibugiza Ndanda FC Bao 2-1 kwa mbagoli ya Paul Nonga, na Kelvin Yondani, na lile la Ndanda FC likifungwa na Kigi Makasi.

Azam FC wao wameibuka na ushindi mnono wa bao 3-1 dhidi ya Tanzania Prisons kwa Bao 2 za Shomari Kapombe na moja la Mcha huku Bao la Prisons, la kufutia machozi lilipachikwa na Jeremiah John.

Robo Fainali ya michuano hili itakamilika Aprili 11 wakati Simba SC watakapocheza na Coastal Union katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.

Kwa matokeo hayo Yanga na Azam fc zinaungana na Timu ya Mwadui FC ambayo ndio ilikuwa Timu ya kwanza kutinga Nusu Fainali baada kwa kuwachapa Geita Gold kwa mabao 3 -0.

Bingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) atawakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF CC) mwaka 2017.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • LIVE KUTOKA TAIFA: YANGA 3-1 KAGERA SUGAR (FULL TIME)
    MPIRA UMEKWISHAAAAAA DAKIKA 3 ZA NYONGEZA SUB Dk 90, Yanga wanamtoa Juma Abdul baada ya kuumia na nafasi yake inachukuliw...
  • Trending Videos Title: GODZILLA FT MWASITI - FIRST CLASS Official...
  • Makundi ya Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika yamepangwa, Yanga yupo Kundi A
    Baada ya kumalizika kwa hatua ya mtoano ya michezo ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bin...
  • Video nyingine mpya ya Gucci Mane ‘Waybach’ Itazame hapa.
    kutoka kwa album yake mpya ya Everybody Looking , Gucci Mane ametoa video mpya ya “Waybach” akiwa na producer mkali Mike WiLL Made.
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • AUDIO: RC Makonda abushi vyeti .Askofu Gwajima aeleza
    Siku kadhaa baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kusema kuwa hawezi kujibu madai ya mitandao...
  • Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete imeokoa hizi milioni ambazo zingetumika kwa matibabu nje
    Taasisi ya Moyo...
  • MALDINI AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 84
    MAREHEMU MALDINI (KULIA) WAKATI WA UHAI WAKE AKIWA NA MWANAYE, PAOLO MALDINI Beki wa zamani wa AC Milan na kocha wa timu ya taiga ya...
  • Odinga amtembelea Rais Magufuli, Chato
    Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga akiwasili kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Chato Mkoani Geita kwa ajili ya kwen...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top