Leo jioni timu ya Simba imekubali kichapo kitakatifu toka kwa timu ya 
Mwadui ya Shinyanga inayofundishwa na Kocha wa Zamani wa Simba 
Julio..Kichapo hicho cha goli moja bila goli lililofungwa na Mchezaji 
Jamal Mnyate Dakika ya 73 linaifanya Yanga Kutangazwa Mabigwa wa ligi ya
 Vodacom kwa vile hakuna timu inayoweza kufikisha point alizonazo 
Yanga....
 
Post a Comment