HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » Doukara apigwa marufuku kushiriki mechi nane

Doukara apigwa marufuku kushiriki mechi nane

9:47 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

                                Souleymane Doukara amepigwa marufuku ya mechi nane
Mshambuliaji wa klabu ya Leeds United Souleymane Doukara, amepigwa marufuku ya mechi nane kwa kumng'ata mchezaji mwingine.

Mchezaji huyo wa umri wa miaka 24 analaumiwa kwa kusababisha timu yake kutoka sare ya bao moja na Fulham mnano tarehe 23 mwezi Februari.

Doukara ambaye alipinga hatua hiyo pia amepigwa faini ya dola 5000.

Leeds United imekasirishwa na matokeo ya kisa hicho pamoja na urefu wa hukumu lakini imesema haitatoa taarifa zaidi kwa sasa.

Marufuku hiyo inamaanisha kuwa hatashirika kandanda hadi wakati mechi ya mwisho ya msimu.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • Safisha mazingira, tumia choo kuepuka kipindupindu
    “MIAKA ya nyuma kabla hatujapata elimu ya usafi wa mazingira wengi walikuwa hawana vyoo na walikuwa wa...
  • Jitibu Magonjwa 300 Kwa Kutumia Mti wa Mlonge
    Mlonge au moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana kama mti wa miujiza kwa karne nyingi katika baadhi ya nchi za ...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq
    Kwa akali watu 38 wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa k...
  • Mayweather akubali kuzichapa na Conor McGregor Juni 10, 2017
    Mabondia Floyd Mayweather na Conor McGregor watapanda ulingoni Juni 10, mwaka huu wameuteua ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas kuwa ...
  • Ratiba rasmi ya Ligi Kuu soka Tanzania bara 2015/2016
    Shirikisho la mpira wa miguu  Tanzania TFF  leo July 19 2016 limetangaza kutoa rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka  Tanzania  bara msimu ...
  • VIDEO: Siku moja baada ya kumpoteza Patrick Ekeng uwanjani, haya ni matukio 9 ya kusikitisha katika soka
  • PATASHIKA NGUO KUCHANIKA MAPEMAKESHO AMBAPO MATOKEO RASMI HUTOLEWA KATIKA UKUMBI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA
    Majaji kesho kuamua ni nani Aingie Fainali katika mashindano ya utangazaji AJTC Arusha Baadhi ya majaji katika mashind...
  • MWANA WA BESIGYE AWANIA URAIS OXFORD
                              Anslem Besigye amesaidia na mamake kutayarisha video hiyo ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top