HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » Doukara apigwa marufuku kushiriki mechi nane

Doukara apigwa marufuku kushiriki mechi nane

9:47 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

                                Souleymane Doukara amepigwa marufuku ya mechi nane
Mshambuliaji wa klabu ya Leeds United Souleymane Doukara, amepigwa marufuku ya mechi nane kwa kumng'ata mchezaji mwingine.

Mchezaji huyo wa umri wa miaka 24 analaumiwa kwa kusababisha timu yake kutoka sare ya bao moja na Fulham mnano tarehe 23 mwezi Februari.

Doukara ambaye alipinga hatua hiyo pia amepigwa faini ya dola 5000.

Leeds United imekasirishwa na matokeo ya kisa hicho pamoja na urefu wa hukumu lakini imesema haitatoa taarifa zaidi kwa sasa.

Marufuku hiyo inamaanisha kuwa hatashirika kandanda hadi wakati mechi ya mwisho ya msimu.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • TP Mazembe Wameimarisha Matumaini ya Yanga Kufuzu Nusu Fainali ya CAF
    Maombi na furaha ya watanzania wote wazalendo ni kuona Yanga ikifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya ...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • HII HAPA ORODHA YA WAGOMBEA UONGOZI TFF WALIOCHUJWA...MALINZI KAONDOL
    Jumamosi ya July 8 2017 kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka Tanzania TFF ilikutana kwa mara ya kwanza baada ya kuvunj...
  • Uchawi Ni Utumwa : Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi- Sehemu Ya Pi
    NASHIRIKI   KUMFUNGA  KICHAWI  MUME  WA  MTU… . Katika  makala  yangu  yaliyopita , nilieleza  jinsi  mungu  wa  kabili alivyo  ...
  • Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafuasi wa CHADEMA
    Polisi mkoani Kahama wametumia mabomu ya machozi kutawanya makundi ya wananchi wanaokutwa wamekusanyika k...
  • Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 28, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
  • Upinzani waapa kumng'oa Zuma mamlakani
    ...
  • Serikali Yakanusha Kupima Ukimwi Nyumba Kwa Nyumba
    Kumekuwepo na taarifa mbalimbali zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zinazotokana na habari iliyoandikwa na kuchapishwa kw...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top