HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » MICHEZO » Doukara apigwa marufuku kushiriki mechi nane

Doukara apigwa marufuku kushiriki mechi nane

9:47 AM Unknown 0 MICHEZO
A+ A-
Print Email

                                Souleymane Doukara amepigwa marufuku ya mechi nane
Mshambuliaji wa klabu ya Leeds United Souleymane Doukara, amepigwa marufuku ya mechi nane kwa kumng'ata mchezaji mwingine.

Mchezaji huyo wa umri wa miaka 24 analaumiwa kwa kusababisha timu yake kutoka sare ya bao moja na Fulham mnano tarehe 23 mwezi Februari.

Doukara ambaye alipinga hatua hiyo pia amepigwa faini ya dola 5000.

Leeds United imekasirishwa na matokeo ya kisa hicho pamoja na urefu wa hukumu lakini imesema haitatoa taarifa zaidi kwa sasa.

Marufuku hiyo inamaanisha kuwa hatashirika kandanda hadi wakati mechi ya mwisho ya msimu.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • How Hillary blew her big moment
    Like   Reblog on Tumblr   Tweet Well, Hillary Clinton took the stage after four days of Democratic triumph — the party staged wha...
  • Tai Ni Ndege, Ana Mambo Saba (7) Tofauti Na Ndege maajabu makubwa haya apa
    Kuna aina nyingi za ndege aitwaye tai, mfano kuna tai mwenye mkia mweupe, kuna tai wa rangi ya dhahabu, kuna tai wa Ufilipino na...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4
    Umri: 18+ Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa   ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k...
  • Picha ya Mtanzania anayeteswa na Mchina yampeleka Mwigulu Geita
    Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba amewasili mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi, kubwa ikiwa ni kufuatia taari...
  • RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2
    Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi.  Hiyo Riwaya bado inaendelea na ...
  • TP Mazembe Wameimarisha Matumaini ya Yanga Kufuzu Nusu Fainali ya CAF
    Maombi na furaha ya watanzania wote wazalendo ni kuona Yanga ikifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya ...
  • Trending Videos Title: GODZILLA FT MWASITI - FIRST CLASS Official...
  • Zitto Kabwe "Kaulonzito Sakata la Godbless Lema....Ataka ofisi ya DPP iwajibishwe
    Kitendo cha Mbunge wa Arusha mjini kukaa rumande kwa zaidi ya miezi minne sasa pasipo kupatiwa dhamana kimemf...
  • Breaking News: Wabunge wa Upinzani Waziba Midomo yao Kwa Karatasi na Plasta na Kisha Kutoka Nje
    Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni leo wametumia mtindo mpya kueleza hisia zao baada ya kuamua kutoka kwenye ukumb...
  • SOMA MAAJABU 5 YA NDEGE AINA YA BATA WAKUFUGWA
    Karibu katika mfululizo wa makala mbalimbali makala zinazo kupa fursa ya wewe msomaji kutambua mambo mbalimbali kuusu ndege zaainazote zina...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top