HTV NEWS

Habari motomoto masaa 24

Herry Mlay@2013. Theme images by i-bob. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • SPORTS
  • ENTERTAINMENT
    • Music
    • Video
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • POLITICS
  • FEATURES
  • VIDEO
  • MAGAZINE
  • OUR SERVICES
    • Sub Menu
    • Sub Sub Menu
    • Sub Menu
    • Sub Menu
  • CONTACT US
Home » » Unlabelled » Chama chatishia kumuondoa Zuma madarakani

Chama chatishia kumuondoa Zuma madarakani

1:55 PM Unknown 0
A+ A-
Print Email

                                                               Rais Jacob Zuma
Chama cha Democtratic Alliance nchini Afrika Kusini kumeanzisha kampeni ya kumuondoa rais Jacob Zuma madarakani baada ya mahakama ya kikatiba kutoa uamuzi kuwa alikiuka katiba.

Mahakama ilipata kuwa bwana Zuma alikataa kutii agizo kutoka kwa ofisi ya mwendesha mashtaka mkuu mwaka 2014 la kamtaka alipe pesa zilizotumika kuifanyia ukarabati nyumba yake ya kibinafsi.
Vyama viwili vya upinzani viliwasilisha kesi hiyo mahakamani ili kumlazimu rais Jacob Zuma kuzingatia matokeo ya uchunguzi yaliofanywa na mkaguzi wa hesabu za serikali, kwamba alihusika na mabadiliko yaliofanyiwa nyumba yake ya Nkandla.

Mamilioni ya madola yalitumika katika kile kilitajwa na serikali kuwa uimarishaji wa usalama. Marekebisho hayo yalishirikisha ukumbi,kidimbwi cha kuogelea na zizi la ngombe
Copyright © 2016 BBC. BBC Haiwajibiki kwa taarifa kutoka tovuti zisizo zake.

Share to:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

ijonkzmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZO


.

[Sports][verticalslide][recent][10]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

[Video][simple][recent][5]

  • BURUDANI
  • habar
  • HABARI
  • KIBONZO
  • MAAGAZET
  • MAGAZET
  • MAGAZETI HIILEO
  • MAKALA
  • MATUKI
  • MATUKIO
  • mic
  • MICHEZO
  • TUKIO
  • UCHUMI
  • VIDEO
  • YUKIO

Popular Posts

  • uteuzi wa Diwani viti maalumu Chadema wakamilika
    Kufuatia kifo cha aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu katika Halmashauri ya jiji ya Mbeya kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chade...
  • Zitto ataka hesabu ya wapinzani waliobaki
    Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amefunguka na kuwataka Wabunge wa vyama vya upinzani wasimam...
  • Polisi wakana, wadai wao hawahusiki
    Jeshi la polisi mkoa wa Njombe limekana kumkamata mwandishi wa habari Emmanuel Kibiki ambaye anadaiwa kukamatwa majira ya saa tisa usiku w...
  • Bayern, Atletico zajikatia tikiti ya nusu fainali
    Bayern Munich imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya mabao mawili kwa mawili na Benfica Lisbon jana usi...
  • Papa Francis arejea na wahamiaji Vatican
               ...
  • TASWIRA 10, AZAM FC WAKIENDELEA KUJIWINDA WAKIIWINDA SIMBA ILIYO ZENJI...
    Simba imepiga kambi mjini Zanzibar kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jij...
  • Utafiti: Vijana wengi Tanzania ‘hawafai taifa
             Utafiti huo uliangazia mwaka 2014/2 Utafiti umebaini kwamba asilimia 71 ya...
  • Umoja wa Mataifa: Hali ya usalama Darfur haitabiriki
        Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya usalama katika j...
  • Duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Iran inafanyika leo
        Duru ya pili ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu...
  • NATO na Urusi kufanya mkutano
                          ...
 

tangazo

tangazo

..

..

.

.
HTV NEWS © 2013. All Rights Reserved.
Designed by HERITENSON MLAY
Top