Afya ya rais Mugabe imekuwa ikidhohofika katika miaka ya hivi karibuni
Je unaikumbuka picha hii ?
Yamkini kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 92 aliingia katika uwanja wa kitaifa akiwa kwenye gari rasmi la Kijeshi
Bw Mugabe alikuwa akiongoza taifa katika kuadhimisha miaka 36 ya uhuru kutoka kwa minyororo ya ukoloni.
Rais Mugabe aliwaomba radhi wafanyikazi wa serikali waliostaafu kwa kuchelewa kupata malimbikizi ya marupurupu yao

Mugabe aliwataka wazimbabwe waache ukabila na ufisadi iwapo wanaitaka Zimbabwe iimarike kiuchumi tena.
Taifa hilo limekumbwa na udhaifu wa sarafu yake baada ya sera ya serikali ya kuwapokonya wakoloni wazungu mashamba na kisha kuyagawanyia waafrika weusi ambao ndio wengi kukosolewa vikali na mataifa ya magharibi yakongozwa na Uingereza.
Post a Comment