Mabalozi kutoka
nchi za NATO watakutana na ujumbe kutoka nchini Urusi mjini Brussels kwa
mara ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili.
Mkutano huo unafanyika baada ya visa kadha katika bahari ya Baltic ambapo Marekani ililalamika vitendo vya ndege za jeshi la Urusi.
Urusi ilikana kuvunja sheria yoyote na kudai kuwa kuwepo kwa NATO mashariki mwa Ulaya sio hatua iliyo nzuri.


Post a Comment